Tuesday, October 03, 2006

WANASEMA KWELI

Katika pitapita yangu kama kawaida katika blogu mbalimbali nimekutana na hii ya Michelle anayeiishi Tanzania. Anaelezea jinsi alivyoshtushwa na kazi aliyopewa ya kuwa mwandishi wa hotuba ya mke wa raisi. Habari yenyewe inapatikana kwa kichwa cha habari New Profession: Speech Writer?? Hebu nipe maoni yako baada ya kusoma hiyo ya habari.